Kutoka 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na watu wakaanza kugombana na Musa na kusema:+ “Tupe maji tunywe.” Lakini Musa akawaambia: “Kwa nini mnagombana na mimi? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+ Zaburi 95:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wakati mababu zenu waliponijaribu;+Walinichunguza, pia waliuona utendaji wangu.+ Mathayo 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yesu akamwambia: “Tena imeandikwa, ‘Usimjaribu Yehova Mungu wako.’ ”+ Luka 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yesu akajibu, akamwambia: “Imesemwa, ‘Usimjaribu Yehova Mungu wako.’ ”+ 1 Wakorintho 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wala tusimjaribu Yehova,+ kama baadhi yao walivyomjaribu,+ na kuangamizwa na nyoka.+
2 Na watu wakaanza kugombana na Musa na kusema:+ “Tupe maji tunywe.” Lakini Musa akawaambia: “Kwa nini mnagombana na mimi? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+