Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Wakawaambia mara moja: “Yehova na awatazame ninyi na kuhukumu,+ kwa kuwa mmetufanya tunuke vibaya+ mbele ya Farao na mbele ya watumishi wake kwa kuutia upanga mkononi mwao watuue.”+

  • Hesabu 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na wana wote wa Israeli wakaanza kunung’unika juu ya Musa na Haruni,+ na kusanyiko lote likaanza kusema dhidi yao: “Laiti tungalikufa katika nchi ya Misri, au laiti tungalikufa katika nyika hii!

  • Hesabu 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nao watu wakagombana+ na Musa na kusema: “Laiti tungalikufa wakati ndugu zetu walipokufa mbele za Yehova!+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki