Hesabu 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Waisraeli wote wakaanza kumnung’unikia Musa na Haruni,+ na wote wakawalalamikia wakisema: “Laiti tungalifia katika nchi ya Misri, au laiti tungalifia hapa nyikani! Hesabu Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 14:2 w06 7/15 15 Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:2 Mnara wa Mlinzi,7/15/2006, uku. 15
2 Waisraeli wote wakaanza kumnung’unikia Musa na Haruni,+ na wote wakawalalamikia wakisema: “Laiti tungalifia katika nchi ya Misri, au laiti tungalifia hapa nyikani!