Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 34:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Basi Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi:+ “Mmefanya nitengwe kwa kunifanya kuwa kitu chenye kunuka kwa wakaaji wa nchi hii,+ kwa Wakanaani na Waperizi; wakati mimi ni mdogo kwa hesabu,+ nao watakusanyika pamoja juu yangu wanishambulie, nami nitaangamizwa, mimi na nyumba yangu.”

  • 1 Samweli 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na Israeli wote wakasikia habari: “Sauli ameipiga kambi ya kijeshi ya Wafilisti, na sasa Israeli wamekuwa harufu mbaya+ kwa Wafilisti.” Basi watu wakakusanywa pamoja, wamfuate Sauli huko Gilgali.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Baada ya muda, wana wa Amoni wakaona kuwa wamenuka+ machoni pa Daudi, na Hanuni+ na wana wa Amoni wakatuma talanta 1,000 za fedha+ ili kukodi magari+ na wapanda-farasi kutoka Mesopotamia na kutoka Aram-maaka+ na kutoka Soba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki