Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 19:1

Marejeo

  • +1Sa 11:1
  • +2Sa 10:1

1 Mambo ya Nyakati 19:2

Marejeo

  • +2Sa 9:7; Met 19:22
  • +2Sa 10:2
  • +Mwa 19:38

1 Mambo ya Nyakati 19:3

Marejeo

  • +Isa 32:7
  • +Yos 2:1

1 Mambo ya Nyakati 19:4

Marejeo

  • +Zb 35:12
  • +Law 19:27
  • +Isa 20:4
  • +2Sa 10:4

1 Mambo ya Nyakati 19:5

Marejeo

  • +1Fa 16:34

1 Mambo ya Nyakati 19:6

Marejeo

  • +1Sa 13:4
  • +2Sa 10:1
  • +2Nya 25:6
  • +Zb 20:7
  • +2Sa 10:6
  • +1Sa 14:47; 2Sa 8:3

1 Mambo ya Nyakati 19:7

Marejeo

  • +Isa 31:1
  • +2Sa 10:6
  • +Yos 13:9

1 Mambo ya Nyakati 19:8

Marejeo

  • +2Sa 8:16
  • +2Sa 23:8

1 Mambo ya Nyakati 19:9

Marejeo

  • +2Sa 10:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 724

1 Mambo ya Nyakati 19:10

Marejeo

  • +2Sa 10:9; Met 20:18

1 Mambo ya Nyakati 19:11

Marejeo

  • +1Nya 11:20
  • +2Sa 8:12

1 Mambo ya Nyakati 19:12

Marejeo

  • +2Sa 8:5
  • +Mhu 4:9
  • +2Sa 10:11

1 Mambo ya Nyakati 19:13

Marejeo

  • +Kum 31:6; Yos 1:7
  • +2Sa 10:12
  • +Isa 46:10

1 Mambo ya Nyakati 19:14

Marejeo

  • +2Sa 10:13
  • +Law 26:7; Kum 28:7

1 Mambo ya Nyakati 19:15

Marejeo

  • +Law 26:8
  • +2Sa 10:14

1 Mambo ya Nyakati 19:16

Marejeo

  • +2Sa 10:15
  • +2Sa 8:3

1 Mambo ya Nyakati 19:17

Marejeo

  • +2Sa 10:17

1 Mambo ya Nyakati 19:18

Marejeo

  • +1Nya 19:14; Zb 33:16
  • +2Sa 10:18

1 Mambo ya Nyakati 19:19

Marejeo

  • +Kum 28:7; Zb 18:39
  • +1Nya 14:17; Zb 18:44
  • +2Sa 10:19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 19:11Sa 11:1
1 Nya. 19:12Sa 10:1
1 Nya. 19:22Sa 9:7; Met 19:22
1 Nya. 19:22Sa 10:2
1 Nya. 19:2Mwa 19:38
1 Nya. 19:3Isa 32:7
1 Nya. 19:3Yos 2:1
1 Nya. 19:4Zb 35:12
1 Nya. 19:4Law 19:27
1 Nya. 19:4Isa 20:4
1 Nya. 19:42Sa 10:4
1 Nya. 19:51Fa 16:34
1 Nya. 19:61Sa 13:4
1 Nya. 19:62Sa 10:1
1 Nya. 19:62Nya 25:6
1 Nya. 19:6Zb 20:7
1 Nya. 19:62Sa 10:6
1 Nya. 19:61Sa 14:47; 2Sa 8:3
1 Nya. 19:7Isa 31:1
1 Nya. 19:72Sa 10:6
1 Nya. 19:7Yos 13:9
1 Nya. 19:82Sa 8:16
1 Nya. 19:82Sa 23:8
1 Nya. 19:92Sa 10:8
1 Nya. 19:102Sa 10:9; Met 20:18
1 Nya. 19:111Nya 11:20
1 Nya. 19:112Sa 8:12
1 Nya. 19:122Sa 8:5
1 Nya. 19:12Mhu 4:9
1 Nya. 19:122Sa 10:11
1 Nya. 19:13Kum 31:6; Yos 1:7
1 Nya. 19:132Sa 10:12
1 Nya. 19:13Isa 46:10
1 Nya. 19:142Sa 10:13
1 Nya. 19:14Law 26:7; Kum 28:7
1 Nya. 19:15Law 26:8
1 Nya. 19:152Sa 10:14
1 Nya. 19:162Sa 10:15
1 Nya. 19:162Sa 8:3
1 Nya. 19:172Sa 10:17
1 Nya. 19:181Nya 19:14; Zb 33:16
1 Nya. 19:182Sa 10:18
1 Nya. 19:19Kum 28:7; Zb 18:39
1 Nya. 19:191Nya 14:17; Zb 18:44
1 Nya. 19:192Sa 10:19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 19:1-19

1 Mambo ya Nyakati

19 Na ikawa kwamba baadaye Nahashi+ mfalme wa wana wa Amoni akafa, na mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+ 2 Ndipo Daudi akasema: “Nitamwonyesha fadhili zenye upendo+ Hanuni mwana wa Nahashi, kwa sababu baba yake alinionyesha fadhili zenye upendo.”+ Basi Daudi akatuma wajumbe ili kumfariji kwa sababu ya baba yake, na watumishi wa Daudi wakaingia katika nchi ya wana wa Amoni+ kwa Hanuni ili kumfariji. 3 Hata hivyo, wakuu wa wana wa Amoni wakamwambia Hanuni: “Je, Daudi anamheshimu baba yako machoni pako kwa kutuma kwako wafariji? Je, watumishi wake hawakuja kwako+ ili kuchunguza kwa ukamili na kufanya mapinduzi na kuipeleleza nchi?”+ 4 Kwa hiyo Hanuni akawachukua wale watumishi wa Daudi,+ akawanyoa,+ akakata nusu ya mavazi yao mpaka kwenye matako yao,+ akawaacha waende zao.+ 5 Baadaye watu wakaenda, wakamwambia Daudi kuhusu wale watu; naye akatuma watu mara moja kwenda kuwapokea, kwa sababu watu hao walikuwa wamefedheheshwa sana; na mfalme akaendelea kusema: “Kaeni katika Yeriko+ mpaka ndevu zenu ziote kabisa. Ndipo mrudi.”

6 Baada ya muda, wana wa Amoni wakaona kuwa wamenuka+ machoni pa Daudi, na Hanuni+ na wana wa Amoni wakatuma talanta 1,000 za fedha+ ili kukodi magari+ na wapanda-farasi kutoka Mesopotamia na kutoka Aram-maaka+ na kutoka Soba.+ 7 Basi wakajikodishia magari 32,000+ na mfalme wa Maaka na watu wake.+ Ndipo wakaja na kupiga kambi mbele ya Medeba;+ nao wana wa Amoni wakakusanyika kutoka katika majiji yao, wakaja sasa kwa ajili ya vita.

8 Wakati Daudi aliposikia habari hizo, akatuma haraka Yoabu+ na jeshi lote na wanaume wenye nguvu.+ 9 Nao wana wa Amoni wakaanza kutoka, wajipange katika vikosi vya vita kwenye mwingilio wa jiji, na wale wafalme+ waliokuwa wamekuja walikuwa peke yao uwanjani.

10 Yoabu alipoona mashambulio yamekuja juu yake kutoka upande wa mbele na kutoka upande wa nyuma, mara moja akachagua baadhi ya wanaume bora katika Israeli na kuwapanga ili wakutane na Wasiria.+ 11 Na wale watu wengine waliobaki akawaweka mkononi mwa Abishai+ ndugu yake, ili wajipange kukutana na wana wa Amoni.+ 12 Naye akasema: “Ikiwa Wasiria+ watakuwa na nguvu mno kuliko mimi, basi wewe utaniokoa;+ lakini ikiwa wana wa Amoni watakuwa na nguvu mno kuliko wewe, mimi pia nitakuja kukuokoa.+ 13 Uwe na nguvu,+ ili tujionyeshe kuwa hodari kwa ajili ya watu wetu na kwa ajili ya majiji ya Mungu wetu;+ naye Yehova atafanya yaliyo mema machoni pake mwenyewe.”+

14 Ndipo Yoabu na watu waliokuwa pamoja naye wakasonga mbele kuwaelekea Wasiria vitani,+ nao wakakimbia+ kutoka mbele yake. 15 Basi wana wa Amoni wakaona kwamba Wasiria wamekimbia, nao pia wakakimbia+ kutoka mbele ya Abishai ndugu yake, kisha wakaingia ndani ya jiji. Baadaye Yoabu akaingia Yerusalemu.+

16 Wasiria walipoona kwamba wameshindwa+ mbele ya Israeli, wakatuma wajumbe na kuwatoa Wasiria waliokuwa katika eneo la ule Mto,+ na Shofaki mkuu wa jeshi la Hadadezeri akiwa mbele yao.

17 Daudi alipoletewa habari hiyo, akakusanya mara moja Israeli wote na kuvuka Yordani, akaja kwao, akajipanga kupigana nao.+ Daudi alipojipanga katika vikosi vya vita ili kukutana na Wasiria, wao wakaanza kupigana naye. 18 Lakini Wasiria wakakimbia+ kwa sababu ya Israeli; na Daudi akaua kati ya Wasiria waendesha-gari elfu saba na watu 40,000 wanaoenda kwa miguu, naye akamuua Shofaki mkuu wa jeshi.+ 19 Wakati watumishi wa Hadadezeri walipoona kwamba wameshindwa mbele ya Israeli,+ wakafanya amani mara moja na Daudi, wakaanza kumtumikia;+ na Siria hawakutaka kujaribu tena kuwaokoa wana wa Amoni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki