Kumbukumbu la Torati 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Yehova atawafanya adui zako wanaoinuka juu yako washindwe mbele yako.+ Kwa njia moja watakuja juu yako, lakini kwa njia saba watakimbia kutoka mbele yako.+ Zaburi 18:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nawe utanifunga mshipi wa nguvu kwa ajili ya vita;Utawaangusha chini yangu wale wanaoniinukia.+
7 “Yehova atawafanya adui zako wanaoinuka juu yako washindwe mbele yako.+ Kwa njia moja watakuja juu yako, lakini kwa njia saba watakimbia kutoka mbele yako.+