1 Mambo ya Nyakati 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wasiria walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, waliwatuma wajumbe wawaite Wasiria waliokuwa katika eneo la Mto Efrati,+ wakiongozwa na Shofaki mkuu wa jeshi la Hadadezeri.+
16 Wasiria walipoona kwamba wameshindwa na Waisraeli, waliwatuma wajumbe wawaite Wasiria waliokuwa katika eneo la Mto Efrati,+ wakiongozwa na Shofaki mkuu wa jeshi la Hadadezeri.+