1 Mambo ya Nyakati 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo Hanuni akawachukua watumishi wa Daudi, akawanyoa,+ akakata nguo zao katikati kwenye matako na kuwafukuza.
4 Kwa hiyo Hanuni akawachukua watumishi wa Daudi, akawanyoa,+ akakata nguo zao katikati kwenye matako na kuwafukuza.