6 Iweni hodari na wenye nguvu.+ Usiogope wala kushtuka mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wako ndiye anayepiga mwendo pamoja nawe. Hatakutupa wala kukuacha kabisa.”+
7 “Ila tu uwe hodari na mwenye nguvu sana ili uangalie kufanya kulingana na sheria yote ambayo Musa mtumishi wangu alikuamuru.+ Usiiache, kwenda upande wa kuume wala wa kushoto,+ kusudi utende kwa hekima kila mahali unapoenda.+