Hesabu 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ila tu msimwasi Yehova;+ nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana wao ni mkate kwetu. Ulinzi wao umegeuka kutoka juu yao,+ na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”+ Kumbukumbu la Torati 1:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Kwa hiyo nikawaambia ninyi, ‘Msishtuke wala kuogopa kwa sababu yao.+ Kumbukumbu la Torati 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 usiwaogope.+ Kumbuka kabisa yale ambayo Yehova Mungu wako alimtendea Farao na Misri yote,+ Zaburi 56:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Siku yoyote ile nitakayoogopa, mimi nitakutegemea wewe.+
9 Ila tu msimwasi Yehova;+ nanyi msiwaogope watu wa nchi hiyo,+ kwa maana wao ni mkate kwetu. Ulinzi wao umegeuka kutoka juu yao,+ na Yehova yuko pamoja nasi.+ Msiwaogope.”+