Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 7:1

Marejeo

  • +Kum 31:3; Zb 44:2
  • +Kut 33:2; Yos 3:10
  • +Mwa 10:15
  • +Mwa 10:16
  • +Mwa 15:16
  • +Mwa 10:19
  • +Yos 11:3
  • +Mwa 10:17
  • +1Nya 1:14
  • +Kum 20:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    ‘Nchi Nzuri’, kur. 10-11

  • Fahirishi ya Machapisho

    gl 10-11

Kumbukumbu la Torati 7:2

Marejeo

  • +Hes 33:52; Mdo 13:19
  • +Law 27:29; Kum 20:17; Yos 6:17; 10:28
  • +Kut 23:32; 34:15; Kum 20:16; Amu 2:2

Kumbukumbu la Torati 7:3

Marejeo

  • +Yos 23:12; 1Fa 11:2; Ezr 9:2; Ne 10:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/1989, kur. 20-21

Kumbukumbu la Torati 7:4

Marejeo

  • +Kut 34:16; 1Fa 11:4
  • +Kum 6:15

Kumbukumbu la Torati 7:5

Marejeo

  • +Kut 34:13; Kum 12:2
  • +Kut 23:24; Kum 12:3; 16:22
  • +Kum 16:21
  • +Amu 6:25
  • +Kum 7:25; 12:3

Kumbukumbu la Torati 7:6

Marejeo

  • +Kut 19:6; Kum 14:2; Yer 2:3
  • +Kut 19:5; Zb 135:4; Amo 3:2; Mal 3:17

Kumbukumbu la Torati 7:7

Marejeo

  • +Kum 4:37; 10:15; Zb 105:6; Ro 9:11
  • +Kum 10:22; Zb 105:12; Isa 51:2

Kumbukumbu la Torati 7:8

Marejeo

  • +Kum 23:5
  • +Mwa 22:16; Kut 32:13; Kum 10:15; Zb 105:9; Lu 1:73
  • +Kut 13:14
  • +Kut 6:6; 13:3; Isa 51:10

Kumbukumbu la Torati 7:9

Marejeo

  • +Law 26:45; Kum 4:35; Zb 68:20
  • +Isa 49:7; 1Ko 10:13; 2Ko 1:18; Ebr 11:11
  • +Ne 1:5; Da 9:4
  • +Kut 34:7; Kum 5:10

Kumbukumbu la Torati 7:10

Marejeo

  • +Zb 21:9; 68:2; Met 2:22; Isa 59:18; Nah 1:2; 2Pe 3:7

Kumbukumbu la Torati 7:11

Marejeo

  • +Kum 5:32; Yoh 13:17; Yak 1:22

Kumbukumbu la Torati 7:12

Marejeo

  • +Kut 15:26; Kum 28:1
  • +Zb 105:8
  • +Mik 7:20; Lu 1:55, 72

Kumbukumbu la Torati 7:13

Marejeo

  • +Kut 23:25; Met 10:22
  • +Law 26:9
  • +Kum 28:4
  • +Law 26:4
  • +Zb 107:38
  • +Mwa 13:15

Kumbukumbu la Torati 7:14

Marejeo

  • +Kum 33:29; Zb 115:15; 147:20
  • +Kut 23:26; Kum 28:11; Zb 127:3

Kumbukumbu la Torati 7:15

Marejeo

  • +Kum 28:27, 60; Amo 4:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/1991, uku. 4

Kumbukumbu la Torati 7:16

Marejeo

  • +Kum 7:2; 20:16; Yos 10:28
  • +Mwa 15:16; Law 18:25; Kum 9:5
  • +Kut 20:3
  • +Kut 23:33; Kum 12:30; Amu 2:3; Zb 106:36

Kumbukumbu la Torati 7:17

Marejeo

  • +Hes 13:31

Kumbukumbu la Torati 7:18

Marejeo

  • +Kum 1:29; 31:6; Zb 27:1; Isa 41:10
  • +Kut 14:13; Zb 105:27; 135:8; Mdo 13:17

Kumbukumbu la Torati 7:19

Marejeo

  • +Kum 29:3; Ne 9:11
  • +Ne 9:10; Yer 32:20
  • +Kut 13:3
  • +Kum 11:2
  • +Kum 4:34
  • +Kut 23:28; Yos 3:10

Kumbukumbu la Torati 7:20

Marejeo

  • +Kum 2:25; Yos 2:9; 24:12
  • +Kut 23:29

Kumbukumbu la Torati 7:21

Marejeo

  • +Hes 14:9; Zb 46:5
  • +Kum 10:17; 1Sa 4:8; Ne 1:5; 9:32

Kumbukumbu la Torati 7:22

Marejeo

  • +Kut 23:30

Kumbukumbu la Torati 7:23

Marejeo

  • +Kum 9:3

Kumbukumbu la Torati 7:24

Marejeo

  • +Yos 10:24; 12:1
  • +Kut 17:14; Zb 9:5
  • +Kum 11:25; Yos 1:5; 23:9; Ro 8:31
  • +Yos 11:14

Kumbukumbu la Torati 7:25

Marejeo

  • +Kut 32:20; Kum 12:3; 1Nya 14:12
  • +Isa 30:22
  • +Yos 7:21
  • +Kum 7:16; Amu 8:27
  • +Kum 27:15; 29:17

Kumbukumbu la Torati 7:26

Marejeo

  • +Ro 2:22
  • +Law 27:28; Kum 13:17

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 7:1Kum 31:3; Zb 44:2
Kum. 7:1Kut 33:2; Yos 3:10
Kum. 7:1Mwa 10:15
Kum. 7:1Mwa 10:16
Kum. 7:1Mwa 15:16
Kum. 7:1Mwa 10:19
Kum. 7:1Yos 11:3
Kum. 7:1Mwa 10:17
Kum. 7:11Nya 1:14
Kum. 7:1Kum 20:1
Kum. 7:2Hes 33:52; Mdo 13:19
Kum. 7:2Law 27:29; Kum 20:17; Yos 6:17; 10:28
Kum. 7:2Kut 23:32; 34:15; Kum 20:16; Amu 2:2
Kum. 7:3Yos 23:12; 1Fa 11:2; Ezr 9:2; Ne 10:30
Kum. 7:4Kut 34:16; 1Fa 11:4
Kum. 7:4Kum 6:15
Kum. 7:5Kut 34:13; Kum 12:2
Kum. 7:5Kut 23:24; Kum 12:3; 16:22
Kum. 7:5Kum 16:21
Kum. 7:5Amu 6:25
Kum. 7:5Kum 7:25; 12:3
Kum. 7:6Kut 19:6; Kum 14:2; Yer 2:3
Kum. 7:6Kut 19:5; Zb 135:4; Amo 3:2; Mal 3:17
Kum. 7:7Kum 4:37; 10:15; Zb 105:6; Ro 9:11
Kum. 7:7Kum 10:22; Zb 105:12; Isa 51:2
Kum. 7:8Kum 23:5
Kum. 7:8Mwa 22:16; Kut 32:13; Kum 10:15; Zb 105:9; Lu 1:73
Kum. 7:8Kut 13:14
Kum. 7:8Kut 6:6; 13:3; Isa 51:10
Kum. 7:9Law 26:45; Kum 4:35; Zb 68:20
Kum. 7:9Isa 49:7; 1Ko 10:13; 2Ko 1:18; Ebr 11:11
Kum. 7:9Ne 1:5; Da 9:4
Kum. 7:9Kut 34:7; Kum 5:10
Kum. 7:10Zb 21:9; 68:2; Met 2:22; Isa 59:18; Nah 1:2; 2Pe 3:7
Kum. 7:11Kum 5:32; Yoh 13:17; Yak 1:22
Kum. 7:12Kut 15:26; Kum 28:1
Kum. 7:12Zb 105:8
Kum. 7:12Mik 7:20; Lu 1:55, 72
Kum. 7:13Kut 23:25; Met 10:22
Kum. 7:13Law 26:9
Kum. 7:13Kum 28:4
Kum. 7:13Law 26:4
Kum. 7:13Zb 107:38
Kum. 7:13Mwa 13:15
Kum. 7:14Kum 33:29; Zb 115:15; 147:20
Kum. 7:14Kut 23:26; Kum 28:11; Zb 127:3
Kum. 7:15Kum 28:27, 60; Amo 4:10
Kum. 7:16Kum 7:2; 20:16; Yos 10:28
Kum. 7:16Mwa 15:16; Law 18:25; Kum 9:5
Kum. 7:16Kut 20:3
Kum. 7:16Kut 23:33; Kum 12:30; Amu 2:3; Zb 106:36
Kum. 7:17Hes 13:31
Kum. 7:18Kum 1:29; 31:6; Zb 27:1; Isa 41:10
Kum. 7:18Kut 14:13; Zb 105:27; 135:8; Mdo 13:17
Kum. 7:19Kum 29:3; Ne 9:11
Kum. 7:19Ne 9:10; Yer 32:20
Kum. 7:19Kut 13:3
Kum. 7:19Kum 11:2
Kum. 7:19Kum 4:34
Kum. 7:19Kut 23:28; Yos 3:10
Kum. 7:20Kum 2:25; Yos 2:9; 24:12
Kum. 7:20Kut 23:29
Kum. 7:21Hes 14:9; Zb 46:5
Kum. 7:21Kum 10:17; 1Sa 4:8; Ne 1:5; 9:32
Kum. 7:22Kut 23:30
Kum. 7:23Kum 9:3
Kum. 7:24Yos 10:24; 12:1
Kum. 7:24Kut 17:14; Zb 9:5
Kum. 7:24Kum 11:25; Yos 1:5; 23:9; Ro 8:31
Kum. 7:24Yos 11:14
Kum. 7:25Kut 32:20; Kum 12:3; 1Nya 14:12
Kum. 7:25Isa 30:22
Kum. 7:25Yos 7:21
Kum. 7:25Kum 7:16; Amu 8:27
Kum. 7:25Kum 27:15; 29:17
Kum. 7:26Ro 2:22
Kum. 7:26Law 27:28; Kum 13:17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 7:1-26

Kumbukumbu la Torati

7 “Wakati ambapo Yehova Mungu wako mwishowe atakuingiza katika nchi ambayo unaenda kuimiliki,+ pia ataondolea mbali mataifa yenye hesabu kubwa ya watu toka mbele yako,+ Wahiti+ na Wagirgashi+ na Waamori+ na Wakanaani+ na Waperizi+ na Wahivi+ na Wayebusi,+ mataifa saba yenye hesabu kubwa ya watu na yenye nguvu kuliko wewe.+ 2 Na Yehova Mungu wako hakika atawatia hao mkononi mwako, nawe utawashinda.+ Unapaswa kuwaangamiza.+ Usifanye agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha kibali chochote.+ 3 Nawe usifanye mapatano yoyote ya ndoa pamoja nao. Binti yako usimpe mwana wake, wala binti yake usimchukue kwa ajili ya mwana wako.+ 4 Kwa maana atamgeuza mwana wako aache kunifuata, nao watatumikia miungu mingine;+ na hasira ya Yehova itawaka kwelikweli juu yenu, naye hakika atakuangamiza haraka.+

5 “Kwa upande mwingine, hivi ndivyo mtakavyowafanyia: Madhabahu zao mtazibomoa,+ nazo nguzo zao takatifu mtazivunja,+ nayo miti yao mitakatifu+ mtaikata,+ na sanamu zao za kuchongwa mtaziteketeza kwa moto.+ 6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+

7 “Yehova hakuwaonyesha upendo hivi kwamba akawachagua kwa sababu mlikuwa kikundi chenye hesabu kubwa zaidi ya watu kuliko vikundi vyote,+ kwa maana ninyi ndio mliokuwa kikundi chenye watu wachache zaidi.+ 8 Lakini ilikuwa kwa sababu Yehova aliwapenda ninyi,+ na kwa sababu ya kushika ile ahadi yenye kiapo aliyowaapia mababu zenu,+ ndiyo sababu Yehova aliwatoa nje kwa mkono wenye nguvu,+ apate kuwakomboa ninyi kutoka katika nyumba ya watumwa,+ kutoka katika mkono wa Farao mfalme wa Misri. 9 Nawe unajua vema kwamba Yehova Mungu wako ndiye Mungu wa kweli,+ yule Mungu mwaminifu,+ anayeshika agano+ na fadhili zenye upendo kwa wale wanaompenda na wale wanaoshika amri zake mpaka vizazi elfu,+ 10 lakini anayemlipa usoni pake yule anayemchukia kwa kumwangamiza.+ Hatasitasita kuelekea yule anayemchukia; atamlipa usoni pake. 11 Nawe utashika amri na masharti na maamuzi ya hukumu ninayokuamuru leo kwa kuyatenda.+

12 “Na itatukia kwamba, kwa sababu mnaendelea kusikiliza maamuzi haya ya hukumu na kuyashika na kuyatekeleza,+ Yehova Mungu wako atakutimizia lile agano+ na fadhili zenye upendo ambazo aliwaapia mababu zako.+ 13 Naye hakika atakupenda na kukubariki+ na kukuzidisha+ na kubariki uzao wa tumbo lako+ na mazao ya udongo wako,+ nafaka yako na divai yako mpya na mafuta yako, watoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako,+ kwenye nchi aliyowaapia mababu zako ya kwamba atakupa wewe.+ 14 Utakuwa kikundi cha watu kilichobarikiwa zaidi kuliko vikundi vingine vyote.+ Katikati yako hapatakuwa na mwanamume au mwanamke asiye na uzao, wala katikati ya wanyama wako wa kufugwa.+ 15 Na Yehova atakuondolea kila ugonjwa; na yale magonjwa mabaya ya Misri unayoyajua,+ hatayaweka juu yako, naye atayaweka juu ya wote wanaokuchukia. 16 Nawe utawaangamiza watu wote ambao Yehova Mungu wako anawatia mkononi mwako.+ Jicho lako lisiwasikitikie;+ wala usiitumikie miungu yao,+ kwa sababu jambo hilo litakuwa mtego kwako.+

17 “Ikiwa utasema moyoni mwako, ‘Mataifa haya yana watu wengi mno kwangu. Nitawezaje kuyafukuzia mbali?’+ 18 usiwaogope.+ Kumbuka kabisa yale ambayo Yehova Mungu wako alimtendea Farao na Misri yote,+ 19 ule uthibitisho mkubwa ambao macho yako yaliona,+ na zile ishara na miujiza+ na ule mkono wenye nguvu+ na ule mkono ulionyooshwa+ ambao Yehova Mungu wako aliutumia kukutoa huko.+ Hivyo ndivyo Yehova Mungu wako atakavyowatendea watu wote unaoogopa mbele yao.+ 20 Na Yehova Mungu wako pia atapeleka juu yao hisia ya kuvunjika moyo,+ mpaka wale waliobaki+ na waliojificha mbele yako waangamie. 21 Usishtuke kwa sababu yao, kwa maana Yehova Mungu wako yuko katikati yako,+ Mungu mkuu na mwenye kuogopesha.+

22 “Na Yehova Mungu wako atayasukumia mbali mataifa haya toka mbele yako kidogo kidogo.+ Hutaruhusiwa kuwamaliza kabisa upesi, wanyama wa mwituni wasije wakaongezeka dhidi yako. 23 Na Yehova Mungu wako atawatia mkononi mwako na kuwashinda kabisa kwa ushindi mkubwa, mpaka wawe wameangamizwa.+ 24 Naye atawatia wafalme wao mkononi mwako,+ nawe lazima uyaharibu majina yao toka chini ya mbingu.+ Hakuna mtu atakayesimama imara dhidi yako,+ mpaka utakapokuwa umewaangamiza.+ 25 Sanamu za kuchongwa za miungu yao mtaziteketeza kwa moto.+ Usitamani fedha na dhahabu iliyo juu yake,+ wala usiichukue kwa ajili yako,+ usije ukanaswa nayo;+ kwa maana hizo ni chukizo+ kwa Yehova Mungu wako. 26 Nawe usilete chukizo katika nyumba yako nawe uwe kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuangamizwa kama kitu hicho. Kinai kitu hicho na kukichukia kabisa,+ kwa sababu ni kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuangamizwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki