10 Ndipo ukatoa ishara na miujiza juu ya Farao na watumishi wake wote na watu wote wa nchi yake,+ kwa maana ulijua kwamba walitenda kwa kimbelembele+ juu yao; nawe ukajifanyia jina+ kama ilivyo leo hii.
20 wewe uliyeweka ishara na miujiza katika nchi ya Misri mpaka leo hii na katika Israeli na kati ya wanadamu,+ ili ujifanyie jina, kama ilivyo leo hii.+