2 Lakini Farao akasema: “Yehova ni nani,+ hivi kwamba mimi niitii sauti yake na kuwaruhusu Israeli waende zao?+ Simjui Yehova hata kidogo+ na tena sitawaruhusu Israeli waende zao.”+
3 Basi Musa na Haruni wakaingia ndani kwa Farao na kumwambia: “Hivi ndivyo Yehova Mungu wa Waebrania amesema, ‘Utaendelea kukataa kujitiisha kwangu mpaka wakati gani?+ Waruhusu watu wangu waende zao ili wanitumikie.