1 Samweli 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi wana wa Eli walikuwa watu wasiofaa kitu;+ hawakumtambua Yehova.+ Yohana 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini watafanya mambo haya kwa sababu hawamjui Baba wala hawanijui.+ 2 Wathesalonike 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 katika mwali wa moto, anapoleta kisasi+ juu ya wale wasiomjua Mungu+ na wale wasiotii+ habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.+
8 katika mwali wa moto, anapoleta kisasi+ juu ya wale wasiomjua Mungu+ na wale wasiotii+ habari njema juu ya Bwana wetu Yesu.+