Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo wakaendelea kumwambia: “Yuko wapi Baba yako?” Yesu akajibu: “Ninyi hamnijui mimi wala Baba yangu.+ Kama mngenijua mimi, mngemjua Baba yangu pia.”+

  • Yohana 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini watawatendea mambo yote haya kwa ajili ya jina langu, kwa sababu hawamjui aliyenituma.+

  • Waroma 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana nawatolea ushahidi kwamba wana bidii+ kwa ajili ya Mungu; lakini si kulingana na ujuzi sahihi;+

  • 1 Wakorintho 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hekima hii hakuna hata mmoja wa watawala+ wa mfumo huu wa mambo aliyeijua,+ kwa maana kama wao wangaliijua hawangalimtundika mtini+ Bwana mwenye utukufu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki