22 Wengi wataniambia siku hiyo, ‘Bwana, Bwana,+ hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza roho waovu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+
20 Baada ya kusikia jambo hilo wakaanza kumtukuza Mungu, nao wakamwambia: “Unaona, ndugu, jinsi kulivyo na maelfu mengi ya waamini walio kati ya Wayahudi; nao wote ni wenye bidii kuhusu Sheria.+
14 nami nilikuwa nikifanya maendeleo makubwa zaidi katika dini ya Kiyahudi kuliko watu wengi wa umri wangu katika jamii yangu,+ kwa kuwa nilikuwa mwenye bidii zaidi+ kwa ajili ya mapokeo+ ya baba zangu.