Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wengi wataniambia siku hiyo, ‘Bwana, Bwana,+ hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza roho waovu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+

  • Matendo 21:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Baada ya kusikia jambo hilo wakaanza kumtukuza Mungu, nao wakamwambia: “Unaona, ndugu, jinsi kulivyo na maelfu mengi ya waamini walio kati ya Wayahudi; nao wote ni wenye bidii kuhusu Sheria.+

  • Wagalatia 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 nami nilikuwa nikifanya maendeleo makubwa zaidi katika dini ya Kiyahudi kuliko watu wengi wa umri wangu katika jamii yangu,+ kwa kuwa nilikuwa mwenye bidii zaidi+ kwa ajili ya mapokeo+ ya baba zangu.

  • Wafilipi 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa habari ya bidii, nikilitesa kutaniko;+ kwa habari ya uadilifu ulio kwa njia ya sheria, mtu aliyejionyesha kuwa bila lawama.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki