Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na watu fulani wakashuka kutoka Yudea+ na kuanza kuwafundisha ndugu: “Msipotahiriwa+ kulingana na desturi ya Musa,+ hamwezi kuokolewa.”

  • Matendo 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Mimi ni Myahudi,+ aliyezaliwa katika Tarso ya Kilikia,+ lakini aliyeelimishwa katika jiji hili miguuni pa Gamalieli,+ nikiwa nimefundishwa kwa usahihi+ kabisa Sheria ya mababu, nikiwa mwenye bidii+ kuhusu Mungu kama vile ninyi nyote mlivyo leo hii.

  • Waroma 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana nawatolea ushahidi kwamba wana bidii+ kwa ajili ya Mungu; lakini si kulingana na ujuzi sahihi;+

  • Wagalatia 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 nami nilikuwa nikifanya maendeleo makubwa zaidi katika dini ya Kiyahudi kuliko watu wengi wa umri wangu katika jamii yangu,+ kwa kuwa nilikuwa mwenye bidii zaidi+ kwa ajili ya mapokeo+ ya baba zangu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki