5 ambao walinifahamu tangu mwanzo wanajua, kama tu wangetaka kutoa ushahidi, kwamba kulingana na usahihi kabisa wa madhehebu+ ya namna yetu ya ibada mimi niliishi nikiwa Farisayo.+
11Basi, nauliza, Je, Mungu aliwakataa watu wake?+ Hilo lisitendeke kamwe! Kwa maana mimi pia ni Mwisraeli,+ wa uzao wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.+