Wagalatia 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana kabla ya kufika kwa watu fulani kutoka kwa Yakobo,+ alikuwa akila+ chakula pamoja na watu wa mataifa; lakini walipofika, akaanza kujiondoa na kujitenga mwenyewe, kwa kuwaogopa+ hao wa jamii ya waliotahiriwa.+
12 Kwa maana kabla ya kufika kwa watu fulani kutoka kwa Yakobo,+ alikuwa akila+ chakula pamoja na watu wa mataifa; lakini walipofika, akaanza kujiondoa na kujitenga mwenyewe, kwa kuwaogopa+ hao wa jamii ya waliotahiriwa.+