Marko 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo Mafarisayo na waandishi hao wakamuuliza: “Kwa nini wanafunzi wako hawajiendeshi kulingana na mapokeo ya watu wa zamani, bali hula mlo wao kwa mikono iliyo najisi?”+
5 Kwa hiyo Mafarisayo na waandishi hao wakamuuliza: “Kwa nini wanafunzi wako hawajiendeshi kulingana na mapokeo ya watu wa zamani, bali hula mlo wao kwa mikono iliyo najisi?”+