Matendo 5:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Lakini mtu fulani akasimama katika Sanhedrini, Farisayo anayeitwa Gamalieli,+ mwalimu wa Sheria mwenye kuheshimiwa na watu wote, akaamuru watu hao watolewe nje kwa muda kidogo.+
34 Lakini mtu fulani akasimama katika Sanhedrini, Farisayo anayeitwa Gamalieli,+ mwalimu wa Sheria mwenye kuheshimiwa na watu wote, akaamuru watu hao watolewe nje kwa muda kidogo.+