-
Matendo 5:34Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
34 Lakini mtu fulani akainuka katika Sanhedrini, Farisayo aitwaye jina Gamalieli, mwalimu wa Sheria mwenye kustahiwa na watu wote, akatoa amri hao watu watolewe nje kwa muda kidogo.
-