34 Lakini Farisayo mmoja aitwaye Gamalieli+ akasimama katika Sanhedrini; alikuwa mwalimu wa Sheria aliyeheshimiwa na watu wote, naye akaamuru watu hao watolewe nje kwa muda mfupi.
34 Lakini mtu fulani akasimama katika Sanhedrini, Farisayo anayeitwa Gamalieli,+ mwalimu wa Sheria mwenye kuheshimiwa na watu wote, akaamuru watu hao watolewe nje kwa muda kidogo.+