1 Wakorintho 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana neno juu ya mti wa mateso ni upumbavu+ kwa wale wanaoangamia,+ lakini kwetu sisi tunaookolewa+ ni nguvu za Mungu.+ 2 Wakorintho 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini nguvu zao za akili zilitiwa uzito.+ Kwa maana mpaka leo, utaji uleule unadumu bila kuondolewa wakati wa usomaji wa agano la zamani,+ kwa sababu unaondolewa mbali kwa njia ya Kristo.+
18 Kwa maana neno juu ya mti wa mateso ni upumbavu+ kwa wale wanaoangamia,+ lakini kwetu sisi tunaookolewa+ ni nguvu za Mungu.+
14 Lakini nguvu zao za akili zilitiwa uzito.+ Kwa maana mpaka leo, utaji uleule unadumu bila kuondolewa wakati wa usomaji wa agano la zamani,+ kwa sababu unaondolewa mbali kwa njia ya Kristo.+