6 Lakini sasa tumefunguliwa kutoka katika Sheria,+ kwa sababu tumekufa+ kwa kile ambacho kilikuwa kimetufunga, ili tuwe watumwa+ katika maana mpya kwa roho,+ wala si katika maana ya zamani kwa njia ya sheria zilizoandikwa.+
15 Kwa njia ya mwili wake+ aliufuta uadui,+ ile Sheria ya amri zilizofanyizwa kwa maagizo,+ ili aumbe vile vikundi viwili vya watu+ katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya+ na kufanya amani;