Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 1
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho 1:1

Marejeo

  • +Mdo 9:15; Ro 1:1; 1Ti 2:7
  • +2Ko 1:1; Kol 1:1
  • +Mdo 18:17

1 Wakorintho 1:2

Marejeo

  • +Mdo 18:1
  • +Yoh 17:19; 1Ko 6:11; Ebr 2:11; 9:14
  • +Da 7:27; 1Pe 1:15
  • +Mt 12:21; Mdo 4:12
  • +Ro 3:22; Efe 4:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1994, kur. 24-25

1 Wakorintho 1:3

Marejeo

  • +Tit 2:11
  • +Hes 6:26; Flp 4:7
  • +2Pe 1:2

1 Wakorintho 1:4

Marejeo

  • +Yoh 1:17
  • +Efe 1:7; 2:7

1 Wakorintho 1:5

Marejeo

  • +2Ko 8:9; Efe 3:19
  • +Kol 1:9

1 Wakorintho 1:6

Marejeo

  • +Mdo 18:5; 2Ti 1:8

1 Wakorintho 1:7

Marejeo

  • +Ebr 6:4
  • +Lu 17:30; 2Th 1:7; 1Pe 1:7

1 Wakorintho 1:8

Marejeo

  • +Ro 14:4; 1Th 3:13; 2Th 3:3
  • +Kol 1:22
  • +1Ko 4:5; 5:5; Ufu 1:10
  • +1Th 5:23

1 Wakorintho 1:9

Marejeo

  • +Kum 7:9; Isa 49:7
  • +Yoh 17:21; 1Yo 1:3

1 Wakorintho 1:10

Marejeo

  • +2Th 3:6
  • +2Ko 13:10
  • +2Ko 13:11; Flp 2:2
  • +Ro 16:17; Efe 4:3
  • +Ro 15:5; 2Ko 13:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi, 3/1/2007, uku. 30

    Amkeni!,

    5/8/2003, kur. 26-27

    Wapiga-Mbiu, uku. 232

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1989, kur. 18-20

    4/1/1986, uku. 30

    Kutoa Sababu, uku. 63

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 3/1 30; rs 63; g03 5/8 26-27; jv 232

1 Wakorintho 1:11

Marejeo

  • +Law 5:1; 1Ko 5:1

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1997, uku. 29

    10/15/1989, uku. 15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w97 8/15 29

1 Wakorintho 1:12

Marejeo

  • +Mdo 18:24; 1Ko 3:4, 21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    10/1/1996, kur. 21-22

  • Fahirishi ya Machapisho

    w96 10/1 21-22

1 Wakorintho 1:13

Marejeo

  • +Efe 4:5
  • +Mdo 2:38

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 211

1 Wakorintho 1:14

Marejeo

  • +Mdo 18:8
  • +Ro 16:23

1 Wakorintho 1:16

Marejeo

  • +1Ko 16:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

1 Wakorintho 1:17

Marejeo

  • +Mdo 9:15
  • +1Ko 2:1

1 Wakorintho 1:18

Marejeo

  • +Mdo 17:18; 1Ko 2:14
  • +1Yo 2:17
  • +1Ko 15:2
  • +Ro 1:16

1 Wakorintho 1:19

Marejeo

  • +Zb 33:10; 1Ko 3:19
  • +Yer 8:9; 1Ti 6:20
  • +Isa 29:14

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/1992, kur. 21-24

1 Wakorintho 1:20

Marejeo

  • +Isa 33:18
  • +Mdo 17:18
  • +Efe 2:2
  • +Ayu 12:17; Ro 1:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/1992, kur. 19-20

    Kutoa Sababu, uku. 77

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 77

1 Wakorintho 1:21

Marejeo

  • +Kol 2:8
  • +Mt 11:25; Lu 10:21
  • +Mdo 17:19; 1Ko 2:14; 3:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 26

    9/15/1992, kur. 19-24

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 26

1 Wakorintho 1:22

Marejeo

  • +Mt 12:38; Lu 11:29
  • +Mdo 17:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/1992, kur. 22-23

1 Wakorintho 1:23

Marejeo

  • +1Ko 2:2
  • +Isa 8:14
  • +Mdo 17:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/1/2012, uku. 23

    8/15/2010, uku. 4

    6/15/2003, uku. 6

    6/15/1999, uku. 30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 5/1 23; w10 8/15 4; w03 6/15 6; w99 6/15 30

1 Wakorintho 1:24

Marejeo

  • +Mk 13:26
  • +1Ko 1:30; Kol 2:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mkaribie Yehova, kur. 87-96

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2015, kur. 3-7

    10/1/1990, uku. 20

  • Fahirishi ya Machapisho

    cl 87-96

1 Wakorintho 1:25

Marejeo

  • +2Ko 13:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Sababu, uku. 77

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 77

1 Wakorintho 1:26

Marejeo

  • +Mdo 4:13
  • +Ro 8:30
  • +Yoh 7:48; Yak 2:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1994, kur. 12-13

    7/1/1988, kur. 28-29

    Wapiga-Mbiu, kur. 547-548

  • Fahirishi ya Machapisho

    jv 547-548

1 Wakorintho 1:27

Marejeo

  • +Lu 16:8
  • +Mt 11:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2014, uku. 24

    8/15/1994, kur. 12-13

    7/1/1988, kur. 28-29

    Wapiga-Mbiu, kur. 547-548

  • Fahirishi ya Machapisho

    jv 547-548

1 Wakorintho 1:28

Marejeo

  • +Ro 4:17
  • +1Ko 2:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Wapiga-Mbiu, kur. 547-548

    Mnara wa Mlinzi,

    7/1/1988, kur. 28-29

  • Fahirishi ya Machapisho

    jv 547-548

1 Wakorintho 1:29

Marejeo

  • +Ro 3:27; 1Ko 4:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Wapiga-Mbiu, kur. 547-548

    Mnara wa Mlinzi,

    9/15/1992, uku. 22

  • Fahirishi ya Machapisho

    jv 547-548

1 Wakorintho 1:30

Marejeo

  • +Yer 23:5; Ufu 5:12
  • +Ro 10:4; 2Ko 5:21
  • +Yoh 17:19; Ebr 10:10
  • +Ro 3:24; Kol 1:14

1 Wakorintho 1:31

Marejeo

  • +Yer 9:24; 2Ko 10:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    2/15/2005, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 2/15 13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 1:1Mdo 9:15; Ro 1:1; 1Ti 2:7
1 Kor. 1:12Ko 1:1; Kol 1:1
1 Kor. 1:1Mdo 18:17
1 Kor. 1:2Mdo 18:1
1 Kor. 1:2Yoh 17:19; 1Ko 6:11; Ebr 2:11; 9:14
1 Kor. 1:2Da 7:27; 1Pe 1:15
1 Kor. 1:2Mt 12:21; Mdo 4:12
1 Kor. 1:2Ro 3:22; Efe 4:5
1 Kor. 1:32Pe 1:2
1 Kor. 1:3Tit 2:11
1 Kor. 1:3Hes 6:26; Flp 4:7
1 Kor. 1:4Yoh 1:17
1 Kor. 1:4Efe 1:7; 2:7
1 Kor. 1:52Ko 8:9; Efe 3:19
1 Kor. 1:5Kol 1:9
1 Kor. 1:6Mdo 18:5; 2Ti 1:8
1 Kor. 1:7Ebr 6:4
1 Kor. 1:7Lu 17:30; 2Th 1:7; 1Pe 1:7
1 Kor. 1:8Ro 14:4; 1Th 3:13; 2Th 3:3
1 Kor. 1:8Kol 1:22
1 Kor. 1:81Ko 4:5; 5:5; Ufu 1:10
1 Kor. 1:81Th 5:23
1 Kor. 1:9Kum 7:9; Isa 49:7
1 Kor. 1:9Yoh 17:21; 1Yo 1:3
1 Kor. 1:102Th 3:6
1 Kor. 1:102Ko 13:10
1 Kor. 1:102Ko 13:11; Flp 2:2
1 Kor. 1:10Ro 16:17; Efe 4:3
1 Kor. 1:10Ro 15:5; 2Ko 13:11
1 Kor. 1:11Law 5:1; 1Ko 5:1
1 Kor. 1:12Mdo 18:24; 1Ko 3:4, 21
1 Kor. 1:13Efe 4:5
1 Kor. 1:13Mdo 2:38
1 Kor. 1:14Mdo 18:8
1 Kor. 1:14Ro 16:23
1 Kor. 1:161Ko 16:15
1 Kor. 1:17Mdo 9:15
1 Kor. 1:171Ko 2:1
1 Kor. 1:18Mdo 17:18; 1Ko 2:14
1 Kor. 1:181Yo 2:17
1 Kor. 1:181Ko 15:2
1 Kor. 1:18Ro 1:16
1 Kor. 1:19Zb 33:10; 1Ko 3:19
1 Kor. 1:19Yer 8:9; 1Ti 6:20
1 Kor. 1:19Isa 29:14
1 Kor. 1:20Isa 33:18
1 Kor. 1:20Mdo 17:18
1 Kor. 1:20Efe 2:2
1 Kor. 1:20Ayu 12:17; Ro 1:22
1 Kor. 1:21Kol 2:8
1 Kor. 1:21Mt 11:25; Lu 10:21
1 Kor. 1:21Mdo 17:19; 1Ko 2:14; 3:18
1 Kor. 1:22Mt 12:38; Lu 11:29
1 Kor. 1:22Mdo 17:18
1 Kor. 1:231Ko 2:2
1 Kor. 1:23Isa 8:14
1 Kor. 1:23Mdo 17:32
1 Kor. 1:24Mk 13:26
1 Kor. 1:241Ko 1:30; Kol 2:3
1 Kor. 1:252Ko 13:4
1 Kor. 1:26Mdo 4:13
1 Kor. 1:26Ro 8:30
1 Kor. 1:26Yoh 7:48; Yak 2:5
1 Kor. 1:27Lu 16:8
1 Kor. 1:27Mt 11:25
1 Kor. 1:28Ro 4:17
1 Kor. 1:281Ko 2:6
1 Kor. 1:29Ro 3:27; 1Ko 4:7
1 Kor. 1:30Yer 23:5; Ufu 5:12
1 Kor. 1:30Ro 10:4; 2Ko 5:21
1 Kor. 1:30Yoh 17:19; Ebr 10:10
1 Kor. 1:30Ro 3:24; Kol 1:14
1 Kor. 1:31Yer 9:24; 2Ko 10:17
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 1:1-31

1 Wakorintho

Barua ya Kwanza kwa Wakorintho

1 Paulo, aliyeitwa kuwa mtume+ wa Yesu Kristo kupitia mapenzi ya Mungu,+ na Sosthene+ ndugu yetu 2 kwa kutaniko la Mungu lililo katika Korintho,+ kwenu ninyi ambao mmetakaswa+ katika muungano na Kristo Yesu, mlioitwa kuwa watakatifu,+ pamoja na wote ambao kila mahali wanaliitia jina+ la Bwana wetu, Yesu Kristo, Bwana wao na wetu:+

3 Na muwe na fadhili zisizostahiliwa+ na amani+ kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.+

4 Sikuzote ninamshukuru Mungu kwa ajili yenu kwa sababu ya fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu mlizopewa katika Kristo Yesu;+ 5 kwamba katika kila jambo mmetajirishwa+ katika yeye, katika uwezo kamili wa kusema na katika ujuzi kamili,+ 6 kama vile ushahidi juu ya Kristo+ ulivyofanywa kuwa imara katikati yenu, 7 ili kwamba msipungukiwe katika zawadi+ yoyote hata kidogo, huku mkiungojea kwa hamu ufunuo+ wa Bwana wetu Yesu Kristo. 8 Yeye pia atawafanya ninyi imara+ mpaka mwisho, ili msiwe na shtaka+ lolote katika siku+ ya Bwana wetu Yesu Kristo.+ 9 Mungu ni mwaminifu,+ aliyewaita kuingia katika ushirika+ pamoja na Mwana wake Yesu Kristo Bwana wetu.

10 Sasa nawahimiza+ ninyi, akina ndugu, kupitia jina+ la Bwana wetu Yesu Kristo kwamba nyote mseme kwa upatano,+ na kwamba kusiwe na migawanyiko+ katikati yenu, bali kwamba muunganishwe vema katika akili ileile na katika njia ileile ya kufikiri.+ 11 Kwa maana, ndugu zangu, wale wa nyumba ya Kloe walinifunulia+ juu yenu kwamba kuna magombano kati yenu. 12 Ninalomaanisha ni hili, kwamba kila mmoja wenu anasema: “Mimi ni wa Paulo,” “Lakini mimi ni wa Apolo,”+ “Lakini mimi ni wa Kefa,” “Lakini mimi ni wa Kristo.” 13 Kristo amegawanyika.+ Je, Paulo alitundikwa mtini kwa ajili yenu? Au je, mlibatizwa+ katika jina la Paulo? 14 Mimi nashukuru kwa kuwa sikubatiza hata mmoja wenu isipokuwa Krispo+ na Gayo,+ 15 ili yeyote asiseme kwamba mlibatizwa katika jina langu. 16 Ndiyo, niliibatiza pia nyumba ya Stefana.+ Kuhusu wale wengine, sijui kama nilimbatiza mwingine yeyote. 17 Kwa maana Kristo alinituma,+ si kwenda kubatiza, bali kwenda kutangaza habari njema, si kwa maneno ya hekima,+ ili mti wa mateso wa Kristo usifanywe kutofaa kitu.

18 Kwa maana neno juu ya mti wa mateso ni upumbavu+ kwa wale wanaoangamia,+ lakini kwetu sisi tunaookolewa+ ni nguvu za Mungu.+ 19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima,+ na akili ya watu wenye akili+ nitaitupa kando.”+ 20 Yuko wapi mtu mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi?+ Yuko wapi mwenye kubishania+ maneno wa mfumo huu wa mambo?+ Je, Mungu hakuifanya hekima ya ulimwengu iwe upumbavu?+ 21 Maana, kwa kuwa katika hekima ya Mungu, ulimwengu kupitia hekima yake+ haukuja kumjua Mungu,+ Mungu aliona vema kupitia upumbavu+ wa linalohubiriwa awaokoe wale wanaoamini.

22 Kwa maana Wayahudi wanaomba ishara+ na Wagiriki wanatafuta hekima;+ 23 lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyetundikwa mtini,+ kwa Wayahudi ni sababu ya kujikwaa+ lakini kwa mataifa ni upumbavu;+ 24 hata hivyo, kwa wale walioitwa, Wayahudi na Wagiriki, Kristo ni nguvu+ za Mungu na hekima+ ya Mungu. 25 Kwa sababu kitu kipumbavu cha Mungu ni chenye hekima zaidi kuliko wanadamu, na kitu dhaifu cha Mungu ni chenye nguvu zaidi kuliko wanadamu.+

26 Kwa maana mnaona mwito wake kwenu, akina ndugu, kwamba si wengi wenye hekima+ katika njia ya kimwili walioitwa,+ si wengi wenye nguvu,+ si wengi wa uzawa wa cheo; 27 bali Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu,+ ili awaaibishe watu wenye hekima; na Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu, ili aviaibishe vitu vyenye nguvu;+ 28 na Mungu alivichagua vitu vinyonge vya ulimwengu na vitu vinavyodharauliwa, vitu ambavyo si kitu,+ ili kuvifanya viwe si kitu+ vitu ambavyo ni kitu 29 ili mwili wowote usijisifu+ machoni pa Mungu. 30 Lakini ni kwa sababu yake kwamba ninyi mko katika muungano na Kristo Yesu, ambaye kwetu amekuwa hekima+ kutoka kwa Mungu, pia uadilifu+ na utakaso+ na kuachiliwa huru kupitia fidia;+ 31 ili iwe kama ilivyoandikwa: “Yeye anayejisifu, na ajisifu katika Yehova.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki