15 Lakini Bwana akamwambia: “Ondoka uende, kwa sababu mtu huyu ni chombo kilichochaguliwa+ kwangu ili kupeleka jina langu kwa mataifa+ na vilevile kwa wafalme+ na wana wa Israeli.
7 Kwa kusudi la ushahidi+ huo mimi niliwekwa rasmi kuwa mhubiri na mtume+—ninasema kweli,+ sisemi uwongo—mwalimu wa mataifa+ katika jambo linalohusu imani+ na kweli.