7 Bali, kinyume chake, walipoona kwamba nilikuwa nimekabidhiwa+ habari njema kwa ajili ya wale wasiotahiriwa,+ kama vile Petro alivyokuwa nayo kwa ajili ya wale waliotahiriwa+—
7 Kwa kusudi la ushahidi+ huo mimi niliwekwa rasmi kuwa mhubiri na mtume+—ninasema kweli,+ sisemi uwongo—mwalimu wa mataifa+ katika jambo linalohusu imani+ na kweli.