1 Timotheo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa kusudi la ushahidi+ huo mimi niliwekwa rasmi kuwa mhubiri na mtume+—ninasema kweli,+ sisemi uwongo—mwalimu wa mataifa+ katika jambo linalohusu imani+ na kweli. 2 Timotheo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ambayo kwa ajili yake mimi niliwekwa rasmi kuwa mhubiri na mtume na mwalimu.+
7 Kwa kusudi la ushahidi+ huo mimi niliwekwa rasmi kuwa mhubiri na mtume+—ninasema kweli,+ sisemi uwongo—mwalimu wa mataifa+ katika jambo linalohusu imani+ na kweli.