14 Simioni+ ameeleza kikamili jinsi Mungu kwa mara ya kwanza alivyoelekeza uangalifu wake kwa mataifa ili achukue kutoka kwao watu kwa ajili ya jina lake.+
7 Bali, kinyume chake, walipoona kwamba nilikuwa nimekabidhiwa+ habari njema kwa ajili ya wale wasiotahiriwa,+ kama vile Petro alivyokuwa nayo kwa ajili ya wale waliotahiriwa+—