Matendo 17:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo wakamshika na kumpeleka Areopago, wakisema: “Je, tunaweza kujua ni fundisho gani hili jipya+ unalosema? 1 Wakorintho 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho. 1 Wakorintho 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yeyote asiwe akijishawishi mwenyewe: Yeyote kati yenu akifikiri yeye ni mwenye hekima+ katika mfumo huu wa mambo, acheni awe mpumbavu, ili awe mwenye hekima.+
19 Kwa hiyo wakamshika na kumpeleka Areopago, wakisema: “Je, tunaweza kujua ni fundisho gani hili jipya+ unalosema?
14 Lakini mtu wa kimwili hayapokei mambo ya roho ya Mungu, kwa maana hayo ni upumbavu kwake; naye hawezi kuyajua,+ kwa sababu hayo huchunguzwa kiroho.
18 Yeyote asiwe akijishawishi mwenyewe: Yeyote kati yenu akifikiri yeye ni mwenye hekima+ katika mfumo huu wa mambo, acheni awe mpumbavu, ili awe mwenye hekima.+