Waroma 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Basi, kujisifu+ kuko wapi? Kumefungiwa nje. Kupitia sheria+ gani? Ile ya matendo?+ Hapana, bali kupitia sheria ya imani.+ 1 Wakorintho 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana ni nani anayekufanya wewe kuwa tofauti+ na mwingine? Kwa kweli, una nini ambacho hukupokea?+ Basi, ikiwa kwa kweli ulikipokea,+ kwa nini unajisifu+ kana kwamba hukukipokea?
27 Basi, kujisifu+ kuko wapi? Kumefungiwa nje. Kupitia sheria+ gani? Ile ya matendo?+ Hapana, bali kupitia sheria ya imani.+
7 Kwa maana ni nani anayekufanya wewe kuwa tofauti+ na mwingine? Kwa kweli, una nini ambacho hukupokea?+ Basi, ikiwa kwa kweli ulikipokea,+ kwa nini unajisifu+ kana kwamba hukukipokea?