Yohana 3:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yohana akajibu, akasema: “Mtu hawezi kupokea hata kitu kimoja isipokuwa awe amepewa kutoka mbinguni.+ Yakobo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+
27 Yohana akajibu, akasema: “Mtu hawezi kupokea hata kitu kimoja isipokuwa awe amepewa kutoka mbinguni.+
17 Kila zawadi njema+ na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ kwa maana hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ naye habadiliki, kama kugeuka kwa kivuli.+