Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 136:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Yule anayeifanya ile mianga mikubwa:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

  • Isaya 45:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kufanyiza nuru+ na kuumba giza,+ kufanya amani+ na kuumba msiba,+ mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.+

  • Isaya 60:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Jua lako halitatua tena, wala mwezi wako hautafifia; kwa maana Yehova atakuwa kwako nuru+ inayodumu mpaka wakati usio na kipimo, na siku za kuomboleza kwako zitakuwa zimemalizika.+

  • Waefeso 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 kwa maana wakati mmoja ninyi mlikuwa giza,+ bali sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana. Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru,

  • 1 Yohana 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na huu ndio ujumbe ambao tumesikia kutoka kwake nasi tunawatangazia ninyi,+ kwamba Mungu ni nuru+ na hakuna giza kamwe katika muungano na yeye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki