Zaburi 136:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yule anayeifanya ile mianga mikubwa:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Isaya 45:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kufanyiza nuru+ na kuumba giza,+ kufanya amani+ na kuumba msiba,+ mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.+ Isaya 60:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Jua lako halitatua tena, wala mwezi wako hautafifia; kwa maana Yehova atakuwa kwako nuru+ inayodumu mpaka wakati usio na kipimo, na siku za kuomboleza kwako zitakuwa zimemalizika.+ Waefeso 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 kwa maana wakati mmoja ninyi mlikuwa giza,+ bali sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana. Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru, 1 Yohana 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na huu ndio ujumbe ambao tumesikia kutoka kwake nasi tunawatangazia ninyi,+ kwamba Mungu ni nuru+ na hakuna giza kamwe katika muungano na yeye.+
7 Yule anayeifanya ile mianga mikubwa:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
7 Kufanyiza nuru+ na kuumba giza,+ kufanya amani+ na kuumba msiba,+ mimi, Yehova, ninafanya mambo hayo yote.+
20 Jua lako halitatua tena, wala mwezi wako hautafifia; kwa maana Yehova atakuwa kwako nuru+ inayodumu mpaka wakati usio na kipimo, na siku za kuomboleza kwako zitakuwa zimemalizika.+
8 kwa maana wakati mmoja ninyi mlikuwa giza,+ bali sasa ninyi ni nuru+ kuhusiana na Bwana. Endeleeni kutembea kama watoto wa nuru,
5 Na huu ndio ujumbe ambao tumesikia kutoka kwake nasi tunawatangazia ninyi,+ kwamba Mungu ni nuru+ na hakuna giza kamwe katika muungano na yeye.+