Zaburi 29:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova atawapa watu wake nguvu kwelikweli.+Yehova atawabariki kwa amani watu wake.+ Isaya 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ee Yehova, utatuhukumia amani,+ kwa sababu umetenda kazi zetu zote kwa ajili yetu.+ 2 Wakorintho 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na muwe na fadhili zisizostahiliwa na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.+