Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova atawapa watu wake nguvu kwelikweli.+

      Yehova atawabariki kwa amani watu wake.+

  • Isaya 57:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Mimi ninaumba matunda ya midomo.+ Kutakuwa na amani yenye kuendelea kwa yule aliye mbali na kwa yule aliye karibu,”+ Yehova amesema, “nami nitamponya.”+

  • Yeremia 33:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 ‘Tazama, ninamletea yeye nguvu na afya;+ nami nitawaponya na kuwafunulia wingi wa amani na kweli.+

  • Yohana 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Ninawaachia ninyi amani, ninawapa amani+ yangu. Siwapi ninyi hiyo kwa njia ile ambayo ulimwengu huitoa. Mioyo yenu isitaabike wala kuogopa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki