Isaya 48:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto,+ na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+ Luka 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Utukufu katika vilele vilivyo juu+ kwa Mungu, na juu ya dunia amani+ kati ya watu wa nia njema.”+ Matendo 10:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Alituma+ neno kwa wana wa Israeli kuwatangazia habari njema ya amani+ kupitia Yesu Kristo: Huyu ni Bwana wa wengine wote.+ 2 Wakorintho 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo sisi+ ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi.+ Kama walio badala ya Kristo tunaomba:+ “Mpatanishwe pamoja na Mungu.” Waefeso 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye alikuja na kuwatangazia ninyi habari njema ya amani,+ wale waliokuwa mbali sana, na amani kwa wale waliokuwa karibu,+
18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto,+ na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+
14 “Utukufu katika vilele vilivyo juu+ kwa Mungu, na juu ya dunia amani+ kati ya watu wa nia njema.”+
36 Alituma+ neno kwa wana wa Israeli kuwatangazia habari njema ya amani+ kupitia Yesu Kristo: Huyu ni Bwana wa wengine wote.+
20 Kwa hiyo sisi+ ni mabalozi+ walio badala ya Kristo,+ kana kwamba Mungu alikuwa akisihi kupitia sisi.+ Kama walio badala ya Kristo tunaomba:+ “Mpatanishwe pamoja na Mungu.”
17 Naye alikuja na kuwatangazia ninyi habari njema ya amani,+ wale waliokuwa mbali sana, na amani kwa wale waliokuwa karibu,+