Zaburi 119:165 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 165 Wale wanaoipenda sheria yako wana amani nyingi,+Na hakuna kitu cha kuwakwaza.+ Isaya 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na watu wangu watakaa katika makao yenye amani na katika makao ya uhakika kamili na katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.+ Isaya 66:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, mimi ninampa amani kama mto+ na utukufu wa mataifa kama mto unaofurika,+ nanyi hakika mtanyonya.+ Mtachukuliwa mkiwa ubavuni, nanyi mtapakatwa juu ya magoti.+
18 Na watu wangu watakaa katika makao yenye amani na katika makao ya uhakika kamili na katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.+
12 Kwa maana Yehova amesema hivi: “Tazama, mimi ninampa amani kama mto+ na utukufu wa mataifa kama mto unaofurika,+ nanyi hakika mtanyonya.+ Mtachukuliwa mkiwa ubavuni, nanyi mtapakatwa juu ya magoti.+