Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 57:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na hakika mtu atasema, ‘Fanyeni matuta, fanyeni matuta! Fungueni njia.+ Ondoeni kipingamizi chochote katika njia ya watu wangu.’”+

  • Mathayo 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini hana mzizi ndani yake bali huendelea kwa wakati fulani, na dhiki au mateso vikiisha kutokea kwa sababu ya lile neno yeye hukwazika mara moja.+

  • Waroma 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo sisi na tusiwe tukihukumiana+ tena, bali badala yake fanyeni hili kuwa uamuzi+ wenu, kutokuweka mbele ya ndugu+ kikwazo+ au sababu ya kujikwaa.

  • 1 Petro 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana imeandikwa katika Andiko: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe, lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi, lenye thamani; na mtu yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa hata kidogo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki