Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ndipo, pia, watu wengi watakwazika+ na kusalitiana na kuchukiana.+

  • Marko 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini hawana mzizi ndani yao wenyewe, bali wao huendelea kuwako kwa wakati fulani; kisha mara tu dhiki au mateso yanapotokea kwa sababu ya lile neno, wao hukwazika.+

  • Luka 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Zile zilizo juu ya mwamba ndio wale ambao, wanapolisikia, hulipokea lile neno kwa shangwe, lakini hawana mzizi; wao huamini kwa muda, lakini wakati wa jaribu wao huanguka.+

  • 2 Timotheo 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Unajua hili, kwamba watu wote katika wilaya ya Asia+ wamegeuka na kuniacha mimi.+ Figelo na Hermogene ni kati ya hao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki