-
Marko 4:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Hata hivyo, hawana mizizi ndani yao, bali wanaendelea kwa muda fulani; kisha mara tu wanapopata taabu au mateso kwa sababu ya lile neno, wanakwazika.
-
-
Marko 4:17Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
17 Lakini hawana mzizi ndani yao wenyewe, bali wao huendelea kuwako kwa wakati fulani; kisha mara tu dhiki au mnyanyaso utokeapo kwa sababu ya lile neno, wao hukwazika.
-