- 
	                        
            
            Marko 4:17Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
 - 
                            
- 
                                        
17 Lakini hawana mzizi ndani yao wenyewe, bali wao huendelea kuwako kwa wakati fulani; kisha mara tu dhiki au mnyanyaso utokeapo kwa sababu ya lile neno, wao hukwazika.
 
 -