Zaburi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+Na ambao majani yake hayanyauki,+Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+ Methali 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwanangu, usiisahau sheria yangu,+ na moyo wako upate kushika amri zangu,+ Isaya 32:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na kazi ya uadilifu wa kweli itakuwa amani;+ na utumishi wa uadilifu wa kweli utakuwa utulivu na usalama mpaka wakati usio na kipimo.+ Isaya 48:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto,+ na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+ 1 Wakorintho 14:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu,
3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+Na ambao majani yake hayanyauki,+Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+
17 Na kazi ya uadilifu wa kweli itakuwa amani;+ na utumishi wa uadilifu wa kweli utakuwa utulivu na usalama mpaka wakati usio na kipimo.+
18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto,+ na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+
33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+ Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu,