Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Naye hakika atakuwa kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji,+

      Ambao hutoa matunda yake katika majira yake+

      Na ambao majani yake hayanyauki,+

      Na kila jambo analofanya litafanikiwa.+

  • Methali 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwanangu, usiisahau sheria yangu,+ na moyo wako upate kushika amri zangu,+

  • Isaya 32:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na kazi ya uadilifu wa kweli itakuwa amani;+ na utumishi wa uadilifu wa kweli utakuwa utulivu na usalama mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Isaya 48:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Laiti ungesikiliza amri zangu!+ Ndipo amani yako ingekuwa kama mto,+ na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.+

  • 1 Wakorintho 14:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko,+ bali ni wa amani.+

      Kama ilivyo katika makutaniko yote ya watakatifu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki