Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 37:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani+ pamoja nao; watakuwa na agano lenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+ Nami nitawaweka na kuwazidisha+ na kuweka patakatifu pangu katikati yao mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Mika 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye hakika atafanya hukumu kati ya vikundi vingi vya watu,+ na kunyoosha mambo+ kuhusu mataifa yenye nguvu yaliyo mbali.+ Nao watafua panga zao ziwe majembe na mikuki yao iwe miundu.+ Hawatainua upanga, taifa juu ya taifa, wala hawatajifunza vita tena.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki