Mambo ya Walawi 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na hakika mimi nitaweka maskani yangu katikati yenu,+ nayo nafsi yangu haitawachukia ninyi.+ 2 Wakorintho 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+