- 
	                        
            
            2 Wakorintho 6:16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
 - 
                            
- 
                                        
16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu? Kwa maana sisi ni hekalu la Mungu aliye hai; kama vile Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa miongoni mwao na kutembea miongoni mwao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”
 
 -