Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao watanifanyia patakatifu, kwa maana mimi nitakaa katikati yao.+

  • Yoshua 22:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi sasa ikiwa kweli hiyo nchi iliyo miliki yenu ni najisi,+ vukeni mje katika nchi iliyo miliki ya Yehova+ mahali ambapo maskani ya Yehova imekaa,+ mkae katikati yetu; nanyi msimwasi Yehova wala msitufanye sisi tuasi kwa ninyi kujijengea madhabahu zaidi ya ile madhabahu ya Yehova Mungu wetu.+

  • Ezekieli 37:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “ ‘ “Nami nitafanya agano la amani+ pamoja nao; watakuwa na agano lenye kudumu mpaka wakati usio na kipimo.+ Nami nitawaweka na kuwazidisha+ na kuweka patakatifu pangu katikati yao mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Ufunuo 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema+ la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa+ pamoja nao, nao watakuwa watu wake.+ Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki