19 Basi sasa ikiwa kweli hiyo nchi iliyo miliki yenu ni najisi,+ vukeni mje katika nchi iliyo miliki ya Yehova+ mahali ambapo maskani ya Yehova imekaa,+ mkae katikati yetu; nanyi msimwasi Yehova wala msitufanye sisi tuasi kwa ninyi kujijengea madhabahu zaidi ya ile madhabahu ya Yehova Mungu wetu.+