Yeremia 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na kutoka kwao hakika shukrani zitatolewa, na sauti ya wale wanaocheka.+ Nami nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+ nami nitawafanya kuwa wengi katika hesabu, nao hawatakuwa wanyonge.+ Zekaria 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Navyo viwanja vya watu wote vya jiji vitajaa wavulana na wasichana wakicheza katika viwanja vyake vya watu wote.’ ”+ Waebrania 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 akisema: “Hakika nitakubariki, nami nitakuzidisha.”+
19 Na kutoka kwao hakika shukrani zitatolewa, na sauti ya wale wanaocheka.+ Nami nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+ nami nitawafanya kuwa wengi katika hesabu, nao hawatakuwa wanyonge.+
5 Navyo viwanja vya watu wote vya jiji vitajaa wavulana na wasichana wakicheza katika viwanja vyake vya watu wote.’ ”+