Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na wengi kati ya makuhani+ na Walawi na vichwa vya nyumba za ukoo wa upande wa baba,+ wazee ambao walikuwa wameona ile nyumba ya kwanza,+ walikuwa wakilia+ kwa sauti kubwa wakati wa kuwekwa msingi+ wa nyumba hii mbele ya macho yao, huku wengine wengi wakipaaza sauti kwa shangwe.+

  • Nehemia 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi kutaniko lote la wale waliorudi kutoka utekwani wakajenga vibanda na kuanza kukaa katika vibanda hivyo; kwa maana wana wa Israeli hawakuwa wamefanya hivyo tangu siku za Yoshua mwana wa Nuni+ mpaka siku hiyo, hivi kwamba kukawa na shangwe kubwa sana.+

  • Isaya 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na wale hasa waliokombolewa na Yehova watarudi+ na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe;+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watafikia furaha na kushangilia, na huzuni na kuugua zitakimbia kabisa.+

  • Isaya 51:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo watu wa Yehova waliokombolewa watarudi na kuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe,+ na kushangilia kutakuwa juu ya kichwa chao mpaka wakati usio na kipimo.+ Watapata furaha na shangwe.+ Huzuni na kuugua hakika zitakimbia kabisa.+

  • Yeremia 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Bado nitakujenga upya nawe kwa kweli utajengwa upya,+ Ee bikira wa Israeli. Bado utajipamba kwa matari yako na kwa kweli utaenda katika dansi ya wale wanaocheka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki