8 Yeye kwa kweli atameza kifo milele,+ na Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hakika atafuta machozi katika nyuso zote.+ Na shutuma ya watu wake ataiondoa katika dunia yote,+ kwa maana Yehova mwenyewe amesema hayo.
19 Nami nitashangilia katika Yerusalemu na kufurahi katika watu wangu;+ na ndani yake haitasikika tena sauti ya kulia wala sauti ya kilio cha huzuni.”+